Faculty of Arts & Social Sciences (FoA&SS / FoL / FBM): Recent submissions
Now showing items 3221-3240 of 4245
-
Ukiushi Katika Lugha Ya Kimaongezi Dhidi Yakanuni Za Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 1991)Utafiti huu umetokana na imani ~wa~ba ukiushi katika lugha ya kireaongezi ni tukio halisi na dhahiri katika matumizi ya lugha yo yote ile. (Taz. Max Black, 1968). Kuifahamu lugha na kuielewa kikamilifu kunahusu pia ... -
Mada: Ukuzaji Wa Kiswahili
(University of Nairobi, 1988) -
Uyakinifu Wa Maudhui Makuu Katika Utenzi Wa Abdirrahmani Na Sufiyani
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii imeshughulikia uchambuzi wa maudhui makuu katika Utenzi wa Abdirrahmani na Sufiyani kwa kusoma utenzi wenyewe na kudondoa yale masuala mazito yenye uyakinifu katika maisha ya jamii. Tumeongozwa na nadharia ... -
Jumbe katika Vibandiko vya Matatu
(university of Nairobi, 2011)Tasnifu hii inahusu jumbe zinazopatikana katika magari ya usafiri wa umma yanayojulikana kama Matatu. Utafiti wetu umefanyiwa mjini Nyahururu ambao ni mji unaopatikana katika jimbo la Nyandarua, takribani kilomita mia ... -
Ubanifu Wa Fani Katika Diwani Ya Alidhani Kapata Na Hadithi Nyingine
(university of Nairobi, 2015)Lengo la utafiti huu limekuwa kuchanganua ubanifu wa fani katika hadithi fupi katika diwani ya Alidhani Kapata na Hadithi Nyingine (2011) iliyohaririwa na Iribemwangi. Mada imechaguliwa kwa misingi kuwa kazi ya kifasihi ... -
Matumizi Ya Tashbiha, Sitiari Na Taashira Katika Damu Nyeusi Na Hadithi Nyingine
(university of Nairobi, 2016)Katika tasnifu hii tumeonyesha matumizi ya tashbiha, sitiari na tashbiha katika diwani ya Damu Nyeusi na Hadithi Nyingine ambayo ni mojawapo ya hadithi fupi za Kiswahili iliyo na hadithi kumi na tatu zilizoandikwa na ... -
Upembezwaji Wa Mwanamke Kama Udokezi Wa Nafasi Ya Mwanamke Katika Utenzi Wa Fatuma
(university of Nairobi, 2011)Tasnifu hii imeshughulikia upembezwaji wa mwanamke kama udokezi wa nafasi ya mwanamke katika Utenzi wa Fatuma. Kazi imegawika katika sura tano. Katika sura ya kwanza, tumeshughulikia maswala ya kimsingi yanayojenga ... -
Dhana Ya Maisha Katika Riwaya Mbili Za Euphrase Kezilahabi: Kichwamaji Na Dunia Uwanja Wa Fujo
(university of Nairobi, 2011)Katika tasnifu hii tumechunguza dhana ya maisha katika nwaya mbili za Euphrase Kezilahabi ambazo ni Kichwamaji na Dunia Uwanja wa Fujo. Uhakiki huu umegawanywa katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumebainisha somo la ... -
Kilio cha wanyonge katika Riwaya za Said Ahmed Mohamed
(University of Nairobi, 1983) -
Uhakiki wa Riwaya ya nyuso za mwanamke na Said Ahmed Mohamed: mtazamo wa saikolojia changanuzi
(University of Nairobi, 2011)Tasnifu hii inahusu uhakiki wa riwaya ya Nyuso za mwanamke (2010) ya Saidi Ahmed Mohamed kwa mtazamo wa saikolojia changanuzi. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kuonyesha, kuchanganua na kubainisha mitagusano inayoibuka ... -
Maudhui ya mapinduzi katika Riwaya za Visiwani Zanzibar:
(University of Nairobi, 1987) -
Uhalisia Na Uhalisiajabu Katika Riwaya Mpya: Babu Alipofufuka (Said Ahmed Mohamed) Na Watuwa Gehenna (Tom Olali)
(University of Nairobi, 2013)Tasnifu hii inahusu uhalisia na uhalisiajabu katika riwaya za Said Ahmed Mohammed (Babu Alipofufuka) na Tom Olali (Watu wa Gehenna). Katika utafiti huu tumechunguza uhalisiajabu katika kiwango cha wahusika na mandhari ... -
“Administration police and peacebuilding in kenya: a case study of Molo sub county, Nakuru county; 1992-2012.”
(University of Nairobi, 2017)This research examines role of Administration Police in post-conflict peacebuilding as part of reconstruction efforts among rural communities with focus on Molo Sub County between 1992 and 2012. It investigates causes of ... -
Mwingiliano Wa Fasihi Na Historia Katika Utenzi Wa Nchuu Cwavo Yapo Tini Mwa Irara (Mtu Ni Kwao Yapo tini Mwa Irara)
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii inahusu mwingiliano wa fasihi na historia katika Utenzi wa Nchuu Cwavo Yapo Tini lvfwa Irara wa Abubaker M.B. Khuchi. Kazi hii ilikuwa na maIengo mahususi matatu; kwanza, kuhakiki mchango wa historia katika ... -
Athari Za Fasihi Simulizi Katika Riwaya Ya Utubora Mkulima
(University of Nairobi, 2013)Utafiti huu umeshughulikia athari za fasihi simulizi katika uandishi wa riwaya ya Utubora Mkulima. Sura ya kwanza ni somo la utafiti,madhumuni,maswali ya utafiti,sababu za kuchagua somo,upeo na mipaka,misingi ya nadharia ... -
Analyzing the effects of digitalization on mainstream Media and Journalism in Kenya
(University of Nairobi, 2018)This study aimed at analysing the effects of digitalization on mainstream media and journalism in Kenya. The study included sampled officials in the media industry in Nairobi. The study achieved its purpose through three ... -
Effects of corporate governance practices on financial performance of public secondary schools in Siaya , county Kenya.
(University of Nairobi, 2019)Basic Education Act 2013 regulates the establishment of Board of Management in Public Secondary Schools. Every BOM considered frequency of holding meetings, gender diversity and audit committee makes it effective. The ... -
The Adolescent and Theft: Intervention by the Juvenile Courts
(University of Nairobi, 1993)Juvenile delinquency, especially theft by adolescents, is a fast growing phenomenon in the society. Its dramatic spread, particularly in the urban areas, calls for state action, both to curb its growth, and to reform the ... -
Effect of Selected Internal Factors on the Performance of Occupational Pension Schemes in Kenya
(University of Nairobi, 2019)Pension Industry contributes directly to the economy through reduction of old-age poverty and financial market development. The social objective of the pension schemes is provision of an acceptable living standard for its ... -
Strategies Used by Large Scale Grain Growers to Enhance Productivity in Soy Sub-county, Uasin Gishu County, Kenya
(University of Nairobi, 2019)Agricultural sector over the last decade has played a key role in propelling the economies of countries and providing food to the growing population. Grain growing farming strategies are those unique methods that can be ...
