• Login
    • Login
    Advanced Search
    View Item 
    •   UoN Digital Repository Home
    • Theses and Dissertations
    • Faculty of Arts & Social Sciences, Law, Business Mgt (FoA&SS / FoL / FBM)
    • View Item
    •   UoN Digital Repository Home
    • Theses and Dissertations
    • Faculty of Arts & Social Sciences, Law, Business Mgt (FoA&SS / FoL / FBM)
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Ulinganishi wa kirai tenzi cha ks na ek kimofosintaksia: mtazamo wa uminimalisti

    Thumbnail
    View/Open
    Fulltext (5.397Mb)
    Date
    2005
    Author
    Oichoe, Mary P
    Type
    Thesis
    Metadata
    Show full item record

    Abstract
    Kazi hii ni jaribio 1a kutafiti kiulinganishi kirai tenzi eha 1ugha ya Ekegusii na Kiswahili sanifu,kwa kutumia nadharia ya uminimalisti.Tumeshughu1ikia kirai tenzi kimuundo na kiupatanishi kwa kutumia kanuni ya kukagua sifa ya uminima1isti. Kwa muhtasari tumepanga kazi hii katika sura tano .Sura ya kwanza tumeshughu1ikia utangu1izi wa mada yetu kwa kue1eza kirai tenzi ni nini,tumetoa kwa ufupi utangu1izi wa 1ugha hizi mbili.Pia, tumeeleza juu ya tatizo la utafiti, nadharia tete,madhumuni ya somo hili,umuhimu wa utafiti huu,msingi wa nadharia yetu,udurusu wa kazi mbalimbali kuhusu mada yetu na njia za utafiti mbalimbali. Katika sura ya tatu tumeweka msingi wa kirai tenzi kwa kuangalia vipashio vyake.Tumechunguza makundi ya nomino kimofolojia na kisintaksia katika sura ya pili.Sura ya tatu,tumeangalia rnuundo wa k.ilenz.i kuuofolojia kwa kutazama uambishaji na unyambuaji wake.Vipashio vya kirai tenzi tumeviehambua kimuundo katika sura ya nne. Katika sura hiyo pia tumetoa uehanganuzi wa kirai tenzi kwa kutumia kanuni ya kukagua sifa ya uminimalisti.Sura ya sita tumetoa hitimisho na mapendekezo yetu kuhusu kazi hii.Tuligundua kuwa nadharia hii inafanya kazi katika lugha hizi, ingawa zinatofautiana kimuundo na kufanana pia.
    URI
    http://erepository.uonbi.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/18398
    Citation
    Tasnifu hii ime,tolewa kwa madhumuni ya kutosheleza baadhi ya mahitaji ya shahada ya uzamili wa sanaa katika chuo kikui] cha Nairobi
    Publisher
    Department of Arts-Kiswahili
    Collections
    • Faculty of Arts & Social Sciences, Law, Business Mgt (FoA&SS / FoL / FBM) [24587]

    Copyright © 2022 
    University of Nairobi Library
    Contact Us | Send Feedback

     

     

    Useful Links
    UON HomeLibrary HomeKLISC

    Browse

    All of UoN Digital RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Copyright © 2022 
    University of Nairobi Library
    Contact Us | Send Feedback