Sufii al-Busiri
View/ Open
Date
2002Author
Kineene, Mutiso
Type
PresentationLanguage
otherMetadata
Show full item recordAbstract
Katika makala hii nitazungumzia tarehe na kazi za al-Busiri mshairi wa kisufii maarufu katika fasihi ya kiislamu na ambaye baadhi ya kazi zake zimetarjumiwa kwa Kiswahili. Mojawapo ya kazi hizi ni Kasida ya Hamziyyah, ambayo ni maarufu sana hususa kwa Kiswahili cha zamani kiitwacho Kingozi. Kazi yake ya pili mashuhuri sana ni Kasida ya Burudai, kasida ambayo ndiyo maarufu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu. Mshairi huyu ingawa ni mashuhuri, ni mgeni sana kwa wasomi wengi wa fasihi ya Kiswahili.
URI
http://www.qucosa.de/recherche/frontdoor/cache.off?tx_slubopus4frontend[id]=10080http://hdl.handle.net/11295/39862
Citation
Kineene Wa Mutiso (2002). Sufii al-Busiri. AAP 72 (2002), Swahili Forum Ix, 19-24Publisher
Faculty of Arts