Theses and Dissertations: Recent submissions
Now showing items 7341-7360 of 49224
-
Usawiri Wa Watoto Katlka Hadithi Za Mwepesi Wa Kusaha Unalikizo Ya Mkosi
(University of Nairobi, 2015)Mada ya utafiti huu ilikuwa kuchunguza usawiri wa watoto katika hadithi za Mwepesi vva Kusahau na Likizo ya Mkosi. Hadithi hizi za watoto zimejikita katika fasihi ya watoto. Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kubainisha ... -
Taswlra Ya Mwanamke Katika Tamthilia Mbili Za Kiswahilil
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu umeshughulikia taswira ya mwanamke katika tamthilia mbili za Kiswahili. Tumeangalia picha ambayo mwanamke amepewa na jamii katika tamthilia za Kilio Cha Haki (1981) na Pango(2003). Katika sura ya kwanza ... -
Uhakiki Wa Maudhui Teule Katlka Utendi Wa Mikidadi Na Mayas"
(University of Nairobi, 2012) -
Matatizo Yanayodhihirika Katika Matinl Tafsiri Za Kimatibabu Kutoka Kiingereza Hadl Kiswahili: Utafiti Kielelezo Katlka Hospitali Ya Kisii Level 5
(University of Nairobi, 2013)Utafiti huu unahusu uchanganuzi wa matatizo katika matini tafsiri za kimatibabu kutoka lugha ya Kiiingereza hadi Kiswahili. Umuhimu wa mawasiliano katika taaluma ya kimatibabu ni jambo ambalo haiwezi kufumbiwa macho kwa ... -
Mchango Wa Sitiari Za Kiswahili Katika Kauli Za Kichochezi Kwenye Diskosi Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulichunguza jinsi sitiari za Kiswahili hujitokeza katika kauli za wanasiasa na jinsi wanasiasa huweza kuzitumia kueneza kauli za kichochezi nchini Kenya. Vile vile, jinsi lugha ya Kiswahili ijapokuwa ni lugha ... -
Urudiaji Na Uwasilishaji Wa Maana Katika Ushairi Wa Kisasa
(University of Nairobi, 2017)Tasnifuhii imeshughulikia urudiaji na uwasilishaji wa maana katika diwani ya Dhifa na Vifaru Weusi. Tumeangazia mambo yafuatayo: usuli, suala la utafiti, malengo ya utafiti, maswali ya utafiti,sababu za kuchagua mada, ... -
Mitazamo Ya Vijana Na Wazee Kuhusu Ukombozi Wa Mwanamke Katika Tamthilia Tatu Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2007)Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kushughulikia swala la mitazamo ya vijana na wazee kuhusu ukombozi wa mwanamke katika tamthilia tatu za Kiswahili. Tamthilia zilizoteuliwa ni: Kitumbua kimeingia mchanga (2000) S. ... -
Matumizi Ya Taswira Kama Klgezo Cha Kufanikisha Maudhui Katlka Utendi Wa Siiraji Uliyotungwa Na Muhammad I Kijumwa
(University of Nairobi, 2012)Somo letu la utafiti linashughulikia matumizi ya taswira kama kigezo cha kufanikisha maudhui katika Utendi wa Siiraji. Utafiti wetu unanuia kuchunguza kigezo cha taswira na umuhimu wake katika kufanya maudhui ya mtunzi ... -
Taswira Dumifu Za Uana Katika Fasihi Ya Kiswahili Ya Watoto
(University of Nairobi, 2007)Lengo kuu la utafiti huu limekuwa ni kubainisha Jll1Sl taswira durnifu za uana zinavyojitokeza katika fasihi ya Kiswahili ya watoto. Nadharia tete tatu zilizoongoza utafiti huu ni: Mosi, taswira dumifu za uana ... -
Athari Za Udhanaishi Katika Kichwamaji Na Nguvu Ya Sala
(University of Nairobi, 2006)Tasnifu hii imechunguza athari za udhanaishi katika riwaya mbili ambazo ni Kichwamaji na Nguvu ya Sa/a. Kazi yenyewe imegawika katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumetanguliza kwa ufupi dhana ya udhanaishi. Vilevile, ... -
Maudhui na Mtindo Katika Utenzi Wa Vita Vya Uhud
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu umehusu maudhui na mtindo katika Utenzi wa Vita vya Uhud wa Haji Chum (1959). Tumechunguza maudhui mbalimbali yanayojitokeza kwenye utenzi huu. Tumeshughulikia vipengele mbalimbali vya kimtindo vikiwemo ... -
Mtindo Katika Arusi Ya Buldoza Na Hadithi Nyingine
(University of Nairobi, 2007)Tasnifu hii imeshughulikia mtindo katikaArusi ya Buldoza na Hadithi Nyingine. Tasnifu hii ina sura tano. Katika sura ya kwanza, tumegusia tatizo la utafiti, madhumuni ya utafiti, sababu za kuchagua mada, nadharia tete,upeo ... -
Urban Land Development and Planning Law in Kenya: the Case of Nairobi City and Bordering Urban Areas
(University of Nairobi, 1994)The dissertation focuses on urban land development in Kenya, using Nairobi city and bordering urban areas as a case study to illustrate critical problems of metropolitan planning in Kenya. The study is an attempt to ... -
Uhakiki Linganishi Wa Kifani Wa Tenzi Za Mikidadi Na Mavasa Na Swifa Va Nguvumali
(University of Nairobi, 2005)Tasnifu hii ni juu ya uhakiki-linganishi wa ki-fani wa tenzi za Swifa ya Nguvumali (5 Y N M) na Mikidadi na Mayasa(M N M). Utenzi wa M N M ulitungwa na SaidAbdallah Masudiel Buhry miaka mingi kabla ya Karne ya Ishirini. ... -
Mchango Kwa Vijana Kuleta Mabadiliko Chanya Katika Tamthilia Teule Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2012)Kazi hii inahusu juhudi za vijana kama mawakala wa mabadiliko chanya katika tamthilia nne za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Kifo Kisimani naMaua Kwenye Jua la Asubuhi zilizoandikwa na Kithaka wa Mberia . Pango na Seserumbe, ... -
Maudhui Yanavyo Imarishwa Na Fani Katika Riwaya Ya Nguvu Ya Sala Ya K.W Wamitila
(University of Nairobi, 2016)Kazi yetu imechunguza vipengele vya fani. Tulifafanua dhana ya fani kwa kusema kuwa, fani ni vipengele vya kisanaa katika kazi ya fasihi. Aidha, fani ni jinsi ambavyo msanii hufinyanga kazi yake ili msomaji apate ujumbe ... -
Nafasi Ya Wanawai Katika Uhifadhi Wa Mazinglra Katika Riwaya Ya Nakuruto- Mtazamo Wa Fasihi Ya Ufeministi Wa Kiekolojia
(University of Nairobi, 2014)Fasihi ya kiekolojia ru uwanja uliochipuka miaka ya 1970 na kuendelea rniaka ya 1990 kuchanganua, kuchambua na kuhakiki kazi za kifasihi. Uwanja huu unalenga kuangazia fani na maudhui katika matawi ya fasihi kiekolojia ... -
Ufaaji Wa Kiswahili Kama Lugha Ya Kisomo
(University of Nairobi, 1991)Katika tasnifu hii, tumechunguza ufaaji wa Kiswahili kama lugha ya k' _unzia katika viwango vyote vya elimu. Tumechunguza ~shelezaji wa Kiswahili katika kufunza hasa masomo ya Kisayansi na t- ~uma za kiufundl Tumezingatia ... -
Mofosintaksia Va Kishazi Nomino Eha Kiswahili Sanifu- Mtazamo Wa Uminimalisti
(University of Nairobi, 2008)Utafiti huu ni jaribio la kuchanganua kishazi norrnno cha Kiswahili Sanifu. Kishazi nomino ni kishazi tegemezi ambacho huelekea kuchukua majukurnu ya kirai nomino katika sentensi. Kazi hii imegawika katika sura tano. ... -
Jumbe Katika Leso: Matumizi Va Mbinu Va Kusutalf
(University of Nairobi, 2015)Katika utafiti huu tunalenga kuchanganua jumbe za kusuta katika leso mjini Mombasa tukiongozwa na nadharia ya Upole. Utafiti huu ulihusu jumbe za kusuta za leso mjini Mombasa. Utafiti huu ulikuwa unachunguza haipothesia ...
