University of Nairobi Institutional Repository: Recent submissions
Now showing items 11241-11260 of 116514
-
Oleanolic Acid and other Compounds Isolated from Cordia africana Lam which Inhibit Vancomycin Resistant Enterococcus
(University of Nairobi, 2019)ABSTRACT Introduction: Treatment of microbial infections has become complicated due to increased resistance of microbes to the current drugs. The current study investigates crude extracts and seven compounds from root ... -
Antiplasmodial Biflavanones from the Stem Bark of Garcinia buchananii Engl.
(University of Nairobi, 2019)Introduction: Plants of the genus Garcinia are traditionally used treat a range of infectious and non-infectious diseases. Garcinia species are reported to have been shown to have a range of biological activities including ... -
Antiproliferative Properties of Labdane Diterpenoids from Croton sylvaticus Hochst against Drug Sensitive and Resistant Leukemia cell lines
(University of Nairobi, 2019)Background: Cancer treatment failure is majorly attributed to the emergency of multi-drug resistance of cancer cells towards most conventional drugs used in chemotherapy hence the need for more active principles with less ... -
sssHigh seroprevalence of SARS-CoV-2 but low infection fatality ratio eight months after introduction in Nairobi, Kenya.
(Elsevier Ltd, 2021)Background: The lower-than-expected COVID-19 morbidity and mortality in Africa has been attributed to multiple factors, including weak surveillance. We estimated the burden of SARS-CoV-2 infections eight months into the ... -
Ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika mkamandume
(University of Nairobi, 2015)Tasnifu hii imeshughulikia suala la ukombozi wa kisiasa na kiuchumi katika Mkamandume ya S. A. Mohamed. Lengo la utafiti huu lilikuwa kuchanganua hali ya kisiasa na kiuchumi katika Visiwa vya Zanzibar na Pemba na kutathmini ... -
Dhana Ya Ulinganifu Katika Tafsiri Ya Fasihi; Tathmini Ya Usaliti Mjini
(University of Nairobi, 2009)Tasnifu hii inashughulikia tafsiri ya kazi ya kifasihi iliyotafsiriwa kutoka kiingereza hadi kiswahili. Tumetumia matini za Betraval ill the City (1976) 11a Usaliti Mjini (1994). Utafiti wetu umechunguza jinsi dhana ya ... -
Uhakiki Wa Fani Katika Utenzi Wa Tambuka: Nadharia Ya Umuundo
(University of Nairobi, 2011) -
Lugha Katika Idara Ya Uhamiaji Nchini Kenya:mfano Wa Idara Ya Uhamiaji Mombasa
(University of Nairobi, 2017)Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa lugha yamazungumzo katika Jdara ya Uhamiaji nchini Kenya. Ni utafiti uliokuwa na malengo mawili ambayo ni; kubainisha aina za sentensi zinazotumika katika mazungumzo katika Jdara ya ... -
Uchanganuzi Wakiisimu -matini wamsimuwa Tisa
(University of Nairobi, 2008)Tasnifu hii imeshughulikia uchanganuzi wa kiisimu-matini wa diwani ya Msimu wa Tisa kwa kujikita katika dhana za muala na mshikamano. Uchanganuzi huu umefanywa kwa kufuata mwelekeo wa kinadharia wa muala wa Halliday na ... -
Uchanganuzi Wa Makosa Ya Kifonolojia Yanayofanywa Na Wazungumzaji Wa Kikamba Wanapojifunza Kiswahili Sanifu
(University of Nairobi, 2011) -
Effect of on-farm testing on adoption of banana production technologies among smallholder farmers in Meru region, Kenya.
(Emerald Publishing Limited, 2021)Purpose The purpose of this paper is to investigate the effect of on-farm testing on the adoption of banana production technologies among smallholder farmers in the Meru region, Kenya. Design/methodology/approach The ... -
Ugatuzi Wa Utamaduni wa Kikoloni Katika Tamthilia Za Ngugi Wa Thiong'o
(University of Nairobi, 2006) -
Siasa Na Uimarikaji Wa Kiswahili Kenya
(University of Nairobi, 1990) -
Nafasi Ya Dini Katika Ndoa: Tathmini Ya Utengano Na Paradiso
(University of Nairobi, 2011) -
Dhamira ya Uozo Na Athari zake Kwa jamii, Katika Riwaya Ya upotevu
(University of Nairobi, 2012)Madhumuni ya utafiti huu yalikuwa kuchanganua dhamira ya uozo katika nwaya ya Upotevu, kuchunguza uhusika unavyotumiwa kuendeleza uovu na kuonyesha madhara ya uovu katika jamii. Kazi hii ina sura tano. Katika sura ya ... -
Ukombozi Wa Mwanamke Katika Riwaya Za Habwe
(University of Nairobi, 2011)Katika utafiti huu wa ukombozi wa mwanamke, tumeona kwamba ukombozi wa mwanamke unamtegemea mwanamke mwenyewe. Mwanamke anafaa kuchukua mstari wa mbele ili kupigania haki zake za kijamii kama njia ya kupinga ugandamizw ... -
Uhakiki Wa Kifani Katika Utenzi Wa Siri Li Asirali Na Utenzi Wa Mwana Fatuma
(University of Nairobi, 2005)Kazi hii tumeibawibu katika sura nne. Katika sura ya kwanza tumeangazia tatizo letu la utafiti, sababu za kulichagua somo hili, madhumuni yetu, na nadharia tete zinazotuongoza. Vilevile katika sura hii tumeeleza yaliyoandikwa ... -
Uchanganuzi Wa Maendeleo Va Kisemantiki Katika Sheng: Mtazamo Wa Pragmatiki Leksika.
(University of Nairobi, 2011)Katika utafiti huu tulinuia kuchanganua maendeleo ya kisemantiki katika Sheng tukiongozwa na nadharia ya pragmatiki leksika ya Blutner (1990). IIi kufikia malengo hayo, sura ya kwanza imeshughulikia utangulizi kwa ujumla. ... -
Muundo Na Uamilifu Wa Chagizo Katika Viral Na Vishazi Vya Kisw Ahili Sanifu
(University of Nairobi, 2019)Mada yetu ya utafiti ilikuwa uamilifu wa chagizo katika virai na vishazi vya Kiswahili sanifu.Tulidhamiria kuchunguza viambajengo vya aina tofauti za chagizo katika virai na vishazi vya Kiswahili sanifu huku tukilenga ... -
Usimulizi Katika Utenzi Wa Siri Li Asirali
(University of Nairobi, 2011)Utafiti huu unachunguza usimulizi katika Utenzi wa Siri Li Asirali. Utafiti ulitumia nadharia ya . naratolojia. Tulitaka kuchunguza matwnizi ya usimulizi katika ushairi kama ilivyo katika bunilizi kama nwaya. Kazi hii ...
