Browsing Faculty of Arts & Social Sciences, Law, Business Mgt (FoA&SS / FoL / FBM) by Title
Now showing items 23817-23836 of 24487
-
Ubainishaji na ukombozi wa mwanamke katika riwaya mbili za K.W Wamitila Nguvu ya sala (1999) na Dharau ya ini (2007)
(University of Nairobi, Kenya, 2012)ABSTRACT NOT AVAILABLE -
Uber and Taxis- an Anatomy of Disruptive Innovations
(university of nairobi, 2018)The objective of the study was to establish the effect of Ubers disruptive technologies in Kenya. the study aimed to achieve this by establishing the disruptive innovations caused by Uber, to determine the effect of Uber‟s ... -
Uchambuzi Linganishi Wa Maudhui Na Majukumu Ya Nyimbo Za Harusi Za Wadigo Na Waswahili
(University of Nairobi, 2014-11)Utafiti huu unahusu uchambuzi linganishi wa maudhui na majukumu ya nyimbo za harusi za Wadigo na Waswahili. Kazi hii imegawanywa katika su ra nne. Katika sura ya kwanza tumeangazia maswala muhimu ya utafiti wetu. ... -
Uchambuzi linganishi wa maudhui na mtindo baina ya ngano za waswahili na wakuria
(1987)Tasnifu hii ni Uchambuzi linganishi wa Mtindo na maudhui baina ya ngano za Waswahili na Wakuria. Hivyo basi huu ni uchambuzi wa fasihi simulizi, ambapo tunashughulikia ngano peke yake. Fasihi simulizi inazo tanzu nyingi, ... -
Uchambuzi Wa Mikakati Ya Upole Kama Inavyotumiwa Na Wahusika Wakuu Katika Tamthilia Ya Mbaya Wetu
(University of Nairobi, 2015)Utafiti huu umeshughulikia suala la upole kama linavyobainika katika matumizi ya lugha ya wahusika wakuu katika tamthilia ya Mbaya Wetu. Mtafiti ametumia mtazamo wa Nadharia ya Upole ya Brown na Levinson (1987) na kujikita ... -
Uchambuzi Wa Tamathali Za Usemi Pamoja Na Mbinu Nyingine Za Matumizi Ya Lugha Katika Utenzi Wa Mikidadi Na Mayasa
(University of Nairobi, 2012)Utafiti huu unahusu uchambuzi wa tamathali za usemi na mbinu nyengine za matumizi ya lugha katika Utenzi wa Mikidadi na Mayasa na Said Abdalla Masudi el Buhry el Hinawy. Kazi hii imegawanywa katika sura nne. Katika sura ... -
Uchambuzi wa tamathali za usemi pamoja na mbinu nyingine za matumizi ya lugha katika utenzi wa mikidadi na mayasa
(University of Nairobi, Kenya, 2012)Utafiti huu unahusu uchambuzi wa tamathali za usemi na mbinu nyengine za matumizi ya lugha katika Utenzi wa Mikidadi na Mayasa na Said Abdalla Masudi el Buhry el Hinawy. Kazi hii imegawanywa katika sura nne, Katika sura ... -
Uchanganuzi Linganishi Wa Maswala Ya Vijana Na Jinsi Yanavyoshughulikiwa Na Waandishi Katika Diwani Ya Tunu Ya Ushairi
(University of Nairobi, 2015)Katika tasnifu hii tumeonyesha maswala ya vijana na jinsi yanavyoshughulikiwa na waandishi katika diwani ya Tunu ya Ushairi ambayo ina mkusanyiko wa mashairi ya waandishi wanne tofauti.Waandishi hawa ni pamoja na Andanenga, ... -
Uchanganuzi Linganishi Wa Sintaksia Ya Sentensi Sharti Ya Kiswahili Sanifu Na Ekegusii
(University of NairobiDepartment of literature and language, 2013)Lengo la tasnifu hii ni kufanya uchunguzi linganishi wa sentensi sharti ya Kiswahili Sanifu na Ekegusii kwa kutumia nadharia ya Upanuzi wa Sarufi Sawazishi. Tumeigawa kazi hii katika sura tano. Katika sura ya kwanza, ... -
Uchanganuzi Linganishi Wa Swala La Maadili Kwa Vijana Wa Kiume Katika Tenzi Mbili: Siraji Na Adili
(university of Nairobi, 2016)Tasnifu hii imeshughulikia maadili kwa vijana wa kiume yanayojitokeza katika tenzi za Siraji na Adili. Katika utafiti huu tumeongozwa na nadharia ya maadili ambayo inalenga kazi za fasihi kutatua matatizo ya jamii kwa ... -
Uchanganuzi Linganishi Wa Swala La Maadili Kwa Vijana Wa Kiume Katika Tenzi Mbili: Siraji Na Adili
(University of Nairobi, 2016)Tasnifu hii imeshughulikia maadili kwa vijana wa kiume yanayojitokeza katika tenzi za Siraji na Adili. Katika utafiti huu tumeongozwa na nadharia ya maadili ambayo inalenga kazi za fasihi kutatua matatizo ya jamii kwa ... -
Uchanganuzi Wa Kauli Katika Sentensi Elekezi Ya Kiswahili Sanifu: Mtazamo Wa Nadharia Ya Ubanifu
(University of Nairobi, Kenya, 2012)Kazi hii inahusu uchanganuzi wa Kauli katika sentensi elekezi ya Kiswahili sanifu kwa kutumia nadharia ya Ubanifu. Kazi yenyewe ilikuwa na malengo ya kueleza dhana ya uambishaji na kuonyesha viambishi vya kauli katika ... -
Uchanganuzi wa kifasihi wa baadhi ya fani katika nguzo mama:mtazamo wa umuundo na semiotiki
(University of Nairobi, Kenya, 2011)Tasnifu hii imeshughulikia tamathali za usemi na mbinu nyingine za lugha. Tena tumeziangalia fani za fasihi simulizi ambazo mtunzi wa kazi hii amezitumia na kisha tumelishughulikia suala la wahusika na uhusika wao katika ... -
Uchanganuzi wa kiisimu wa baadhi ya matini za Kiswahili: mtazamo wa pragmatiki leksika
(University of Nairobi, Kenya, 2010)Katika kazi hii tumechanganua kiisimu baadhi ya matini za fasihi ya Kiswahili kwa mtazamo wa Pragmatiki Leksika. Tumeigawa kazi hii katika sura tano. Sura ya kwanza imeshughulikia utangulizi wa kijumla kuhusu mada, usuli ... -
Uchanganuzi Wa Kimtindo Wa Zinguo La Mzuka Na Mbaya Wetu
(University of Nairobi, 2015)Utafiti huu ulihusu uchanganuzi wa kimtindo katika Zinguo la Mzuka na Mbaya Wetu. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa kuchunguza matumizi ya sitiari, chuku, tashbihi, tashihisi, kejeli, tanakuzi na oksimora katika tamthilia ... -
Uchanganuzi Wa Kipragmatiki Wa Utoupole Katika Filamu Za Kiswahili
(University of Nairobi, 2017)Tasnifu hii imeshughulikia suala la utoupole katika filamu nne za Kiswahili kutoka Tanzania ambazo ni Hila, Tabasamu Ghushi, Upepo wa baridi na Majuto ambazo ziliteuliwa kimakusudi ili kutupatia data iliyoweza kufanikisha ... -
Uchanganuzi Wa Kipragmatiki Wa Utoupole Katika Mikutano Ya Kisiasa Nchini Kenya
(University of Nairobi, 2021) -
Uchanganuzi wa kishazi elezi cha kiswahili sanifu mtazamo wa kimofosintaksia
(University of Nairobi, Kenya, 2009)ABSTRACT NOT AVAILABLE -
Uchanganuzi Wa Maendeleo Va Kisemantiki Katika Sheng: Mtazamo Wa Pragmatiki Leksika.
(University of Nairobi, 2011)Katika utafiti huu tulinuia kuchanganua maendeleo ya kisemantiki katika Sheng tukiongozwa na nadharia ya pragmatiki leksika ya Blutner (1990). IIi kufikia malengo hayo, sura ya kwanza imeshughulikia utangulizi kwa ujumla. ...